- 2026-08-19 00:28
- Jobs
- Dar es Salaam
- 11 views
Reference: 185
300,000 TSh
Location: Dar es Salaam
Salary: 300,000 TSh
Tunatafuta kijana mchangamfu, mwenye hamasa na uwezo mkubwa wa kushawishi kujiunga na timu yetu kama **Afisa Mauzo (Sales Person)**.
**Majukumu Makuu:**
* Kutafuta wateja wapya na kutangaza huduma/bidhaa zetu.
* Kujenga na kudumisha uhusiano mzuri na wateja.
* Kufikia malengo ya mauzo ya kila mwezi.
* Kutoa murejesho wa soko na mahitaji ya wateja.
**Sifa Zinazohitajika:**
* Uzoefu au uwezo mkubwa katika masuala ya mauzo na masoko.
* Kujiamini na uwezo mzuri wa kuwasiliana na kushawishi.
* Uwezo wa kufanya kazi kwa kujitegemea na kufikia malengo (targets).
* Nidhamu na uaminifu wa hali ya juu.
**Jinsi ya Kuomba:**
Kama unaona unakidhi sifa hizi, tuma CV yako na barua ya maombi kwenda hiring@napataje.com
Additional Details
Company
MEM WORK GROUP LTD
Work Type
Full-time